Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akikata utepe kuashiria ufunguzi ward ya wajawazito katika hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza ambapo CRDB iliifunga kwa muda ward hiyo ilikuifanyia ukarabati madhubuti na kuwa ya kisasa zaidi. Kutoka kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ilemela Bi. Amina Masenza, Mkurugenzi wa BMC Prof. Charles Majinge, Mkurugenzi mtendaji wa CRDB Dr. Charles Kimei (aliyenyanyua mkono), Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga na mmoja kati ya maafisa wa CRDB.
|
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akifungua pazia la bango la wadhamini katika hafla ya kukabidhi ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando Mwanza iliyokarabatiwa na CRDB Benki.
|
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Kazi nzuri sana. Hongereni.
ReplyDelete