Akina mama waliohudhuria kwenye hafla hiyo wakibadilishana mawazo.Punguzo la bei linaendelea kwenye maduka mengi ndani ya Shamo Towers,jengo lipo Mbeze Beach ,Bagamoyo Road karibu na Tangi Bovu.
Wadau wa mawasiliano nao walikuwepo kutoka huduma kwa wateja wao.
Watoto wakifurahia michezo mbali mbali waliokuwa wameandaliwa wakati wazee wao wameenda kufurahia punguzo kwenye maduka mbali mbali hapo shamo Towers.
Sehemu ya watu wengi waliomiminika katika hafla ya family festival iliyofanyika mwishoni mwa wiki,Mbezi beach jijini Dar.
Akina mama wakifurahia jambo kwenye hafla hiyo ya Family Festval.
Wakina mama wakijipumzisha kwenye mgahawa wa Boogie Woogie.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...