Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahakama ya Rufani pamoja na Mahakama Kuu Mara baada ya Sherehe ya kufuata Kitaaluma Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Geofrey Paul Shaidi (wa pili kushoto).
Picha ya pamoja na familia ya Jaji Mstaafu Mhe. Geofrey Shaidi (aliyeketi wa pili kushoto) na Viongozi wa Mahakama na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akimpa shada la maua, Jaji Mstaafu, Mhe. Geofrey Shaidi mara baada ya kuagwa rasmi Kitaaluma mapema Leo, katika Ukumbi namba 1 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. wadau hebu naomba nielimishwe hapa hii "kuagwa kitaaluma" maana yake ni nini hasa? amestaafu kwa mujibu wa sheria au? Lakini hao majaji huwa wanastaaafu katika umri gani? naona hata hao wanaoaga huyo mwenzao pia miongonimwao wapo wazee ki-umri....hi ikoje hapo?

    ReplyDelete
  2. Kwa haraka haraka nilidhani mwenye mvi ndie anaestaafu..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...