Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. Pindi Chana (Mb) akifanua jambo mbele ya wajumbe wa kamati wakati wa kupitia muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria Mbalimbali ( Miscellaneous Amendment Act 2013) wakati wa vikao vya kamati vinavyoendelea Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. William Ngereja (Mb) akijadili jambo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Pindi Chana (Mb) wakati wa kikao cha kamati hiyo kujadili muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria Mbalimbali ( Miscellaneous Amendment Act 2013) Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo.
Mhe. Tundu Lissu (Mb) ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo akichangia jambo wakati wa kamati hiyo.
Mhe. Mustapha Akunay (Mb) nae akichangia.
Mhe. Abbas Mtemvu.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...