Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bw. Charles Pallangyo akizindua mpango mkakati wa pili wa bohari ya dawa MSD unao tarajiwa kuanza julai 2014 hadi juni 2020 wenye lengo la kuongeza ubora kiutendaji katika uzinduzi uliofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Regency jijini Dar es salaam jana.
Kamimu Mkurugenzi wa Bohari kuu ya dawa (MSD) Bw. Cosmas Mwaifwani akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wadau waliohudhuria katika uzinduzi huo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bw. Charles Pallangyo akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya TAMISEMI Bw Deo Mtasiwa mara baada ya kuzindua mpango huo jana katikati ni Kamimu Mkurugenzi wa Bohari kuu ya dawa (MSD) Bw. Cosmas Mwaifwani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...