wadau wenye data msaada tutani tafadhali. Majina, mwaka na hata ikiwezekana nafasi yao katika ligi ya Enzi hizo. Kwa haraka haraka nasaidia kutaja baadhi ya wachezaji ninaowakumbuka ambao ni makipa kushoto ni Juma Pondamali 'Mensah' na kulia ni Sahau Kambi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. Nadhani wa kwanza kushoto walio simama ni Fred Felex Minziro.

    ReplyDelete
  2. Hapo kuna waliochuchumaa....Sahau kambi, justin mtekere, john alex, nimesahau jina, salum kabunda, athumani china, fred felix minziro, jina limenitoka, juma pondamali.

    Waliosimama kushoto.. Goodwin Aswile, issa athumani mgaya, wa kati nimewasahau...mwisho ni Abeid Mziba

    ReplyDelete
  3. Eeee Jwangwani watakumeza mzima mzima kwa kauli yako ya ''Yanga iliyokuwa Yanga'',,,Je ina maana Yanga ya sasa mdebwedo?

    ReplyDelete
  4. Eheee baada ya pondamali,kizota,minziro,china,baada ya Sahau kambi,ni mtekele,arex luwena,na baada ya hao ambao sio wachezaji ni Abed mziba,haya sasa mjomba michuzi kazi kwako na mm naitaka hiyo the fulanazzz ya blog yako.hapo nakumbuka mziray ndio kocha, mm kwa jina naitwa mdudu kakakuona nipo huku UINGEREZA nawapenda sn wote huko nyumbani mkaee kwa amani na upendo

    ReplyDelete
  5. Hapana mkuu..Minziro ni wa tatu kushoto walio chuchumaa, pembeni ya Athumani Juma Chama "Jogoo"

    ReplyDelete
  6. Waliosimama kuanzia Kushoto,Godwin Aswile Mlimba,Issa Athumani wa Saba ni Abeid Mziba.
    waliochuchumaa kuanzia Kushoto, Athumani Idd Chama, Fred Felix Minziro, Athumani China, wa Sita ni Aboubakar Salum, na wa Saba ni Justin Mtekere

    ReplyDelete
  7. Kutoka kushoto waliosimama: Godwin Aswile, Issa Athumani, Dotto Mokili, Said Zimbwe "Terry Butcher", Mohamed Rashid, John Bosco, Abeid Mziba, John Manyika (Daktari) na John Mgombelo(Meneja).

    Waliochuchumaa kutoka kushoto: Juma Pondamali, Athumani Chama "Jogoo", Fred Felix Minziro, Athumani China, Muhesa Kihwelo, Abubakar Salum "Sureboy", John Alex, Justin Mtekere na Sahau Kambi.

    By Yanga Damu,

    Khamis Pazi

    ReplyDelete
  8. Yanga ya 1989.

    By Yanga Damu,

    Khamis Pazi

    ReplyDelete
  9. Anony wa kwanza huyo aliyesimama si Minziro. Minziro ni huyo wa Pili aliyechuchumaa hapo kushoto baada ya Athumani Juma Chama 'Jogoo'. Nafikiri baada ya Minziro ni Athumani China. Huyo wa tatu waliosimama kulia ni Abeid Mziba.

    ReplyDelete
  10. List ya Yanga damu...Khamis Pazi ndio iko vizuri amewapatia wote!

    ReplyDelete
  11. Du kipindi hiko nakumbuka nilikua nakata picha za wachezaji na kubandika ktk kitabu kikuubwa(buku),magazeti yalikua Uhuru,Mzalendo,Mfanyakazi na Daily news ambalo nilikua silisomi zaidi ya kuangalia picha za wachezaji,Mwakani ntatia maguu bongo lazima nipekue pekue ktk makabati labda ntaliona buku langu hahahahahaha,Dah watoto wa enzi hizo sie.

    ReplyDelete
  12. Richard mwandemaniOctober 10, 2013

    waliosimama kutoka kushoto aswile,isa athuman (captain),doto mokili,saidi mwaibambe zimbwe,nimemsahau,john bosco,abeid mziba,dr ben manyika na kiongozo nimemsahau
    waliochuchumaa kutoka kushoto pondamali,athumani chama,fred miziro,athuman china,mwesa kiwelu,abubakari salum,john alex,justin mtekere na shau kambi.

    ReplyDelete
  13. Khamis Pazi:

    Kwa Jinsi Listi nzima ulivyo ishusha ama kweli wewe ni Yanga wa kiukweli YANGA DAMU inaonyesha UKIKATWA NA KISU DAMU YAKO NI YA RANGI YA NJANO NA KIJANI !

    JE UMEWASILIANA NA MKEREKETWA MWENZAKO WA DAR MTU MZIMA ALIYELIA MACHOZI BAADA YA MABAO 5-0 KUFUNGWA NA SIMBA?

    ReplyDelete
  14. pondamali,chama(jogoo)minziro,china,mokili,sureboy,alex,mtekere,sahau kambi.juu,aswile,issa,.....,zimbwe....,bosco,mziba

    ReplyDelete
  15. khamis pazi kiboko

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...