Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Angellah Kairuki akiongea na Mabalozi wa nchi za Umoja wa Ulaya waliomtembelea Wizarani hapo ili kufahamu Tanzania ina mpango gani wa kuondoa adhabu ya kifo katika sheria zake. Mabalozi hao wamemtembelea Naibu Waziri ikiwa leo tarehe 10, Oktoba ni maadhimisho ya kupinga adhabu ya kifo duniani.
Home
Unlabelled
MABALOZI WA EU WATEMBELEA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...