Mbunge  wa  viti maalum  mkoa  wa Iringa  Ritta Kabati  akitolea  ufafanuzi misaada  aliyoitoa " Nitaendelea  kuwa karibu na wana  Iringa pale  mtakapohitaji msaada  wangu  nitatoa  kupitia  posho yangu"
 Mbunge  Kabati  akikabidhi  maada wa  vitabu vya masomo mbali mbali kwa  wakuu wa shule za  sekondari  jimbo la Iringa mjini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...