Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene akitembezwa kujionea mazingira ya shule kabla ya kuanza kwa Mahafali ya Darasa la Saba, shule ya Msingi Mtongani, Kibaha Vijijini 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene akiongea na wahitimu, waalimu, wazazi na wageni waalikwa  katika Mahafali ya Darasa la Saba, shule ya Msingi Mtongani, Kibaha Vijijini katika ukumbi wa Roadgun-JKT mjini Mlandizi
 Wahitimu
 Mhitimu Halima Ramadhani akikabidhi risala kwa Mgeni Rasmi
 Mhitimu Shani Bakari akipokea cheti kutoka kwa Mgeni Rasmi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...