Mbaraka Mwinshehe hana mfano katika ngoma hii ya 'Tina'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pozi la Picha la kulala Hahahahah!

    Si mchezo, Pozi la kulala chini katika majani linawakumbusha watu mbali sana, hiyo nadhani itakuwa miaka ya 1960's hadi 1970's hivi.

    Muda unavokwenda mambo mengi yana badilika sana, mfano Wazee wa Kisasa hata uembeaji wao ni wa kisasa!, pozi zao za kisasa!,,,mfano miaka ya 1980's Wazee walikuwa wakitembea kidogo wanadundika !!!

    Ni vigumu sana kwa zama hizi mtu kupiga picha akiwa ktk Pozi la kulala kwenye majani!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...