Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko
wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori, akifafanua
jambo mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa tano wa wadau wa NSSF, uliofanyika
mwishoni mwa wiki jijini Mwanza. (Picha na Sitta Tuma)
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Injinia Evarist Ndikilo (wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (wa pili kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Mkutano Mkuu jijini Mwanza.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...