Kama Mnavyofahamu ,ndugu yetu,Timothy Mshomi, mtoto wa Bariki Mshomi na Anna Kasidi wa Minnesota,amefariki dunia ghafla Alhamisi asubuhi nyumbani kwao Rogers Minnesota.

Msiba upo nyumbani kwa Bariki Mshomi huko Rogers,Minnesota.

Mazishi yamepangwa kufanyika Jumamosi mchana October 19th 2013 St.Paul-Minnesota.

Kama ilivyo desturi yetu,tafadhali tunaomba mchango wako wa hali na mali ili kukamilisha shughuli hii na kuwasaidia ndugu zetu katika kipindi hiki kigumu.

Kwa wale waliopo nje ya Minnesota au nje ya marekani,mnaweza kutuma michango/rambirambi zenu kwenye Bank account maalum kwa ajili ya shughuli ya msiba huu:-

Bariki Mshomi,
Wellsfargo Bank
Account # 9835036949 .
Routing # :091000019

Kwa taarifa zaidi kuhusu msiba na mipango ya mazishi,unaweza kuwasiliana na wafuatao:-

Dr.Crispin Semakula 651-983-7637
Gracious Msuya 763-439-5626
Sally Semakula 651-983-7632
Dada Lau 651-329-1421
Jackson Mollel 651-334-0163.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...