Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Maria Kashonda (kushoto) akizungumza katika kikao kilichofanyika leo (Alhamisi Oktoba 10, 2013) uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya yaliyowasilishwa kutoka katika Mikutano ya Mabaraza ya Katiba iliyomalizika hivi karibuni.Kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo, Bw. Yahya Msulwa.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mwatumu Malale (kushoto) akizungumza katika kikao kilichofanyika leo (Alhamisi Oktoba 10, 2013) cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya yalitolewa katika Mikutano ya Mabaraza ya Katiba iliyomalizika hivi karibuni. Kulia ni Mjumbe wa Tume, Prof. Mwesiga Baregu.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Mwesiga Baregu (kulia) akizungumza katika kikao kilichofanyika leo (Alhamisi Oktoba 10, 2013) cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya yalitolewa katika Mikutano ya Mabaraza ya Katiba iliyomalizika hivi karibuni. Kuli ni Mjumbe wa Tume, Bi. Mwatumu Malale.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Awadh Said (kushoto) akibadilishana mawazo na wajumbe wengine wa Tume, Bi. Mwatumu Malale na Prof. Mwesiga Baregu wakati wa kikao kilichofanyika leo (Alhamisi Oktoba 10, 2013) cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya yaliyowasilishwa kutoka katika mikutano ya Mabaraza ya Katiba iliyomalizika hivi karibuni. 
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, kutoka (kulia) Prof. Palamagamba Kabudi, Alhaj Said El- Maamry, Bi. Kibibi Hassan na Bi. Esther Mkwizu wakiwa katika kikao kilichofanyika leo (Alhamisi Oktoba 10, 2013) kuchambua maoni ya wananchi kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya yaliyowasilisha na kutoka katika Mikutano ya Mabaraza ya Katiba iliyomalizika hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...