Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaama na kuwashirikisha wafanyakazi wa Benki hiyo pamoja na familia zao. Kulia ni Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga.
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Nahodha wa timu ya Fahari Huduma, Shaban Badi akipokea kombe kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimeia wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...