Mchezo wa wanakandanda ambao ni Mashabiki wa Yanga na Simba uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Muhimbili, ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 5, huku wapinzani wake watani wa jadi Simba wakishinda bao 3 tu!
Mchezo huo ambao ulitanguliwa na Kuwakumbuka wanakandanda ambao wamefariki wakiwa members wa KandandaFB, Kwa muda wa Saa moja hakuna mwanakandana alieposti katika KandandaFB wakati wa kuinamisha vichwa huko.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...