Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Ramadhani Madabida akifungua semina ya siku 2 iliyoshirikisha Chama Cha Mapinduzi na Chama rafiki cha Kikomunisti cha China  (CPC) katika hoteli ya Courtyard mjini Dar es Salaam. Semina hiyo ilikuwa mahususi katika Kuvijengea Vyama Uwezo  na Umuhimu wa Vijana katika vyama.

 Naibu Mkurugenzi wa CPC katika masuala ya Kimataifa Ndugu An Yuejun akitoa salaam za shukran kwa niaba ya wajumbe wenzake kabla ya kuanza kwa semina ya siku mbili iliyoshirikisha CCM na CPC kutoka China.

 Profesa Song Li akitoa elimu juu ya masuala mbali mbali ya kiuchumi ikiwa mipango iliyofanywa na CPC tangu kuanza kwake katika kuboresha na kukuza uchumi wa China. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...