Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi Serikalini (GEPF),Bw Anselim Peter (kulia) akitoa maelezo kwa Waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mwelekeo mpya wa Mfuko huo wa GEPF baada ya kupata sheria mpya hivi karibuni,Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari maelezo jijini Dar es salaam.Kushoto ni Meneja wa Masoko na huduma kwa Wateja Bw Aloyce Ntukamazina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...