Mhe. Anne Makinda ( Mb) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika mkutano wa mwaka unaowakutanisha maspika na wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani katika mkutano wa siku mbili unaofanyika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa. Mkutano huu umeandaliwa kwa pamoja baina ya Umoja wa Mataifa na Inter-Parliamentary Union ( IPU) katika mkutano huu pamoja na mambo mengine wabunge wanajadiliana na kubadilisha mawazo kuhusu nafasi wa mabunge katika majadilianao yannayoendelea hivi sasa kuhusu ajenda mpaya za Maendeleo Endelevu baada ya 2015. Kulia kwa Mhe. Spika ni Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...