Mhe. Anne Makinda ( Mb) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania   akiwa katika mkutano wa mwaka unaowakutanisha maspika na wabunge kutoka  nchi mbalimbali  duniani katika mkutano wa siku mbili  unaofanyika  Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa. Mkutano  huu umeandaliwa kwa pamoja baina ya Umoja wa Mataifa na Inter-Parliamentary Union ( IPU) katika  mkutano huu pamoja na mambo mengine wabunge wanajadiliana na kubadilisha mawazo kuhusu nafasi wa  mabunge katika  majadilianao yannayoendelea  hivi sasa kuhusu ajenda mpaya  za Maendeleo Endelevu baada ya  2015.  Kulia kwa Mhe. Spika ni   Balozi  Ramadhan Mwinyi, Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...