Na Abdulaziz Video,Kilwa 

Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Kilwa kimekutana leo katika kikao cha kawaida chini ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo,Bw Ally Mohamed Mtopa ambapo Madiwani wa Halmashauri hiyo wamemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bw Addoh Mapunda kutoa majibu ya Magari ya Halmashauri hiyo yaliyo katika karakana mbalimbali ili wajue hatma ya magari hayo ambayo yapo kwa muda mrefu huku shughuli za Halmashauri zikiendelea kukwama

Kufuatia hoja hiyo,Mkurugenzi aliwaeleza madiwani hao kuwa Kamati ya Fedha na Uchumi ilipitia kukagua magari hayo na kutoa Ushauri kwa Halmashauri hiyo kuuza magari hayo kutokana na uchakavu ili yanunuliwe magari mapya
Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo,Bw Ally Mohamed Mtopa akiongoza kikao hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...