Mkuu wa kitengo cha masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akizungumza na waandishi wa Habari, wakati Gulio la mauzo ya bidhaa mbalimbali kwa bei nafuu kwa wateja wake iliyofanywa na kampuni hiyo katika viwanja vya makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani city jijini Dar e s Salaam, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango kwa wateja wake.
Mamia ya wateja waliojitokeza katika Gulio "Vodacom Expo" lililofanyika katika viwanja vya makao makuu ya ofisi hizo Mlimani City jijini Dar es Salaam, kwa mara ya kwanza kampuni hiyo ilifanya Gulio hilo kwa kuuza bidhaa mbalimbali kwa bei nafuu ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango kwa wateja wake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...