Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuagana na baadhi ya Watanzania waishio jiji la London Uingereza jana jioni muda mfupi kabla ya kurejea nyumbani baada ya kuhudhuria Mkutano wa Open Government Partnership.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania waishio jiji la London nchini Uingereza jana jioni(Picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. ahahhahah nawaona watu wa reading namuona makamba ndani ya nyumba ahahahaha

    ReplyDelete
  2. Kikwete endeleza Mapinduzi ndani na nje ya nchi. Isimamie CCM UK vizuri ina mashauri mazito mengi ikifunguliwa njia.

    ReplyDelete
  3. Inafurahisha kuona wanadiaspora uk mlivyo mstari wa mbele kuwa karibu na juhudi za maendeleo nyumbani. Imani yenu na uongozi inatupa nguvu.
    Mdau Kisiwa Panza Pemba

    ReplyDelete
  4. Watu makini siku zote huwa karibu na nchi yao popote pale walipo bila kujali umbali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...