Katika Live Talk VOA Ijumaa mtangazaji Sunday Simba Shomary na Mwana FA wamezungumzia hadhi ya muziki wa Bongo Flava unakoelekea na Changamoto zake ambapo mgeni katika kipindi hicho alikuwa mwanamuziki wa Bongo Flava Hamisi Mwinjuma a.k.a Mwana Fa a.k.a Binamu.Kusikiliza ungana na VOA kwa kubofya hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kazi nzuri VOA ongezeni muda wa matangazo BBC wanaendelea kupiga bao huku Bongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...