Familia ya Yagaza tunapenda kutoa shukhrani za dhati kwa ndugu, jamaa,  na marafiki walioweza kushiriki nasi katika hali na mali wakati wa msiba wa mtoto, kaka, baba, na mjomba mpendwa Mwl. Osckar P. Yagaza (pichani). 
Mungu aliye asili ya wema wote azidi 
kuwabariki kila iitwapo leo.
Raha ya milele uumpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...