Wanamitindo mbali mbali wakipita stejini kuonyesha mavazi yaliyobuniwa na Mbunifu,Bongiwe Walaza wa Nchini Afrika Kusini wakati wa Muendelezo wa Maonyesho ya Mavazi katika Tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week,lililofanyika usiku huu katika Ukumbi wa Jiji la Pretoria,nchini Afrika Kusini.
Wanamitindo wakipita stejini kuonyesha mavazi yaliyobuniwa na Mbunifu,Mustafa Hassanali wa Tanzania wakati wa Muendelezo wa Maonyesho ya Mavazi katika Tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week,lililofanyika usiku huu katika Ukumbi wa Jiji la Pretoria,nchini Afrika Kusini.Baadhi ya Mavazi ya Mbunifu,Mustafa Hassanali.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera wabunifu wa Tanzania kwa kazi nzuri, mbona atuvioni hivi madukani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...