Meneja wa Kanda ya Ilala Mfuko wa Pensheni wa PPF, Evans Musiba (Kulia) akionyesha Tuzo ya Kimataifa ya Huduma Bora kwa Wateja iliyotolewa kwa PPF na Taasisi ya kimarekani ya Service Quality Institute (SQI) huko Instanbul Uturuki katika Mkutano wa Kimataifa wa Huduma kwa Wateja. Pichani, Evans Musiba aliyemwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa PPF William Erio katika mkutano huo akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Service Quality Institute (SQI) John Tschohl (wa kwanza kushoto), pamoja na watunukiwa tuzo wengine toka Afrika, Afisa Mtendaji Mkuu wa Ethiopian Airline, Tewolde Gebremariam (wa pili kushoto), na Country Manager wa Noesis Strategic Institute Murtaza Versi (wa pili kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...