Msanii wa Muziki kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidumu” akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere jana usiku kwa ajili ya kutumbuiza katika Shererhe ya “CLUB E”- LICENCE TO PARTY inayotarajiwa kufanyika usiku wa leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Msanii kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidumu” (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wake nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere sambamba na waimbaji wake kwa ajili ya kutumbuiza katika Shererhe ya “CLUB E” – LICENCE TO PARTY inayotarajiwa kufanyika usiku wa leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Yani wengine tunaomboleza msiba wa Madiba wengine ndio hawana habari, ankali hi ni sawa??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...