Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akishiriki na Viongozi na waomboleaji  mbali mbali katika kumswalia Marehemu Jecha Thabit Kombo,katika msikiti Masjid Nuru Muhammad,kwa mchina,na kuzikwa Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja
 Baadhi ya wananchi walioshirki katika mazishi  ya Marehemu Jecha Thabit Kombo,wakilibeba jeneza wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo  kijiji kwao Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa nne kulia) pamoja na Viongozi wengine wakiwa katika mazishi ya marehemu Jecha Thabit Kombo,aliyezikwa kijijini kwao Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja leo. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. MUNGU AMSAMEH NA KUMPA HIFADHI NJEMA KWENYE KABURI NA PEPONI NDUGU YETU,KAKA YETU ARBAAB JECHA.
    POLENI BROTHER MAHMOOD SISTER RAHMA NA WANA FAMILIA WOTE.
    AMEEN.
    HAJI MRISHO,USA.

    ReplyDelete
  2. Allah ampe kauli Thabit , Ameen.
    Yeye katangulia sisi tuko nyuma yake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...