Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi ya Dar es salaam Afande Suleiman Kova akiwa na wakuu wa wilaya ya mkoa wa Dar es salaam katika hafla ya kukabidhiwa Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya katika viwanja vya Karimjee Hall jijini Dar es salaam leo. Kutoka kushoto ni Mhe Jordan Rugimbana (kinondoni, Mhe Raymond Mushi (Ilala) na Mhe. Sophia Mjema wa Temeke.
Home
Unlabelled
Kamanda kova na wakuu wa wilaya za mkoa wa Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...