Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi ya Dar es salaam Afande Suleiman Kova akiwa na wakuu wa wilaya ya mkoa wa Dar es salaam katika hafla ya kukabidhiwa Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya katika viwanja vya Karimjee Hall jijini Dar es salaam leo. Kutoka kushoto ni Mhe Jordan Rugimbana (kinondoni, Mhe Raymond Mushi (Ilala) na Mhe. Sophia Mjema wa Temeke.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...