Leo ni siku ya mwisho ya kuaga mwili wa Mzee Madiba kabla ya kusafirishwa kuelekea kijijini kwake Qunu kwa mazishi siku ya Jumapili. Mitaa ya mji mkuu wa Afrika Kusini, Pretoria, bado imefurika maelfu ya waombolezaji wakiwa katika foleni ndefu kwenda kuamuaga Tata Madiba. Wengine wanaimba na kucheza kusherehekea maisha ya Nelson Mandela, Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika ya Kusini. Globu ya Jamii ipo eneo la tukio na Libeneke litaendelea hadi mazikoni kijijini  Qunu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...