Maandamano ya siku ya Ukimwi duniani yakipita katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi.
Mgeni rasmi siku ya Ukimwi duniani Mh Owena Kowelo ,diwani wa viti maalumu akizungumza katika maadhimisho ya siku hiyo yaliyofanyika katika viwanja vya kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi.
Mgeni rasmi siku ya Ukimwi duniani, Mh Owena Kowelo ,diwani wa viti maalum akitoa chanjo ya vitamini A ikiwa ni uzinduzi rasmi wa utoaji wa chanjo kwa watoto.kushoto kwake ni muuguzi katika zahanati ya Bondeni Eliantuja Mzava akitoa msaada.
Kikundi cha ngoma wakiwemo wageni wakitoa burudani katika siku ya Ukimwi duniani ambayo kwa Moshi ilifanyika katika uwanja wa kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...