Fuso ikiwa imekwama.
Jamaa akichimba ili aweze kupita
Lori likiwa limebeba nguzo za umeme likiwa limekwana eneo la Lwamadovela wilayani Makete
Basi la kampuni ya Mwafrika likipenya kwa tabu pembezoni lilipokwama lori lililobebe nguzo za umeme
Basi la kampuni ya Japanese nalo likivutwa kunasuka kwenye tope zito wakati likitafuta upenyo wa kupita.Picha zote na Edwin Moshi, makete
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...