kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Balozi Nicholas Kuhanga (wanne kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa chuo hicho pamoja na viongozi wakuu wa Chuo kikuu kishiriki cha elimu Dar es Salaam (DUCE) katika mahafali ya sita ya DUCE yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.
Wanafunzi waliofanya vizuri zaidi (waliosimama nyuma) wakiwa katika picha ya pamoja na kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Balozi Nicholas Kuhanga (wanne kushoto waliokaa) a pamoja na viongozi wakuu wa chuo hicho pamoja na viongozi wakuu wa Chuo kikuu kishiriki cha elimu Dar es Salaam (DUCE) katika mahafali ya sita ya DUCE yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...