Mbunge  Deo Filikunjombe  akitoa  neno
Mkuu  wa wilaya ya  Ludewa  Juma  Madaha  kulia akiwa na mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kati  na mwenyekiti  wa CCM wilaya ya  Ludewa Bw  Kolimba  wakati  wa ibada ya Krismas jana
 Mchungaji  wa kanisa  la Anglikana  mtaa wa Ilela  Canon Ngoye  akikabidhiwa  kinada na  mbunge Deo Filikunjombe
 Mchungaji  Ngoye  akikabidhiwa  saruji mifuko  20 kutoka kwa  mbunge  Deo Filikunjombe  wakati wa ibada ya Krismas.
Kwa habari kamili na picha na Francis Godwin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...