Waimbaji wa bendi ya Msondo Ngoma "Baba ya Muziki" wakitoa burudani kwa mashabiki wao waliohudhuria onyesho lao lililofanyika jana kwenye kiota cha TTC Club,Chang'ombe jijini Dar.kutoka kushoto ni Eddo Sanga,Othumani Kambi , Shabani Dede na Hassani Moshi.
Wazee wa Midomo ya Bata wa bendi ya Msondo Ngoma wakiwajibika wakati wa onyesho lao hilo.toka shoto ni Shabani Lendi,Hamisi Mnyupe na Romani Mng'ande.
Wapiga magita wa msondo ngoma wakifanya yao wakati walipokuwa wakitoa burudani.kushoto ni Abdul Ridhiwani na Mustafa Pishuu. picha na Burudan Blog

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...