Wazee wa Midomo ya Bata wa bendi ya Msondo Ngoma wakiwajibika wakati wa onyesho lao hilo.toka shoto ni Shabani Lendi,Hamisi Mnyupe na Romani Mng'ande. |
Wapiga magita wa msondo ngoma wakifanya yao wakati walipokuwa wakitoa burudani.kushoto ni Abdul Ridhiwani na Mustafa Pishuu. picha na Burudan Blog |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...