Lile shindano la Mpendekeze ashinde vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni Tano leo linafikia tamati. Tumepokea mapendekezo mengi na watano hawa wameibuka kidedea. Ni zamu yako sasa kuwapigia kura ili apatikane mshindi wa shindano la mama shujaa wa chakula mtandaoni.. 

Mpigie kura hapa... --> http://growvoting.8020fashionsblog.com/

Shindano la Mama Shujaa wa Chakula mtandaoni linaendeshwa na balozi wa kampeni ya GROW, Mwanawavuti, Shamim Mwasha.  Kampeni hii ilianza mwaka 2011 na inatarajiwa kumalizika mwaka 2015. 

GROW inalenga kuhakikisha kuwa kila mtu ana chakula cha kutosha kila siku “everyone has enough to eat always”.

Kampeni ya GROW inaendeshwa na shirika la kimataifa la Oxfam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...