Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo ya Muajiri Bora wa mwaka 2013, Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya NMB, Rashid Nassoro, wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo hizo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempisky jijini Dar es Salaam, jana usiku.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo ya Muajiri Bora wa mwaka 2013, Meneja wa Sera wa CCBRT, Frederick Msigala, wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo hizo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempisky jijini Dar es Salaam, jana usiku.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo ya jumla ya Muajiri Bora wa mwaka 2013, Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, Salum Mwalimu wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo hizo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempisky jijini Dar es Salaam, jana usiku.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo ya Muajiri Bora wa mwaka 2013, Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Francis Ndenje, wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo hizo iliyofanyika kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Kempisky jijini Dar es Salaam, jana usiku.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...