Ngoma ya Chicco ya 'We Miss You Manelo' iliturusha sana Disko Toto enzi hizo. Hatukujuwa kwamba hio 'Manelo' ilimaanisha 'Mandela' ambapo wakati huo ilikuwa kosa la jinai kutaja jina hilo Afrika Kusini enzi hizo. Na Chicco alibadili jina na sio maudhui ya kuuliza u wapi Madiba. Tunakumiss sana, uko wapi??  Ankal aliiweka ngoma hii hewani  jana Desemba 5, 2013 bila kujua kwamba leo atatutoka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. We Ankal wee..hiki kitu kilikuwa hatari kweli.Hao mabinti 3(Tiny Mbuli, Makie Motloung na Tshidi Wildeman) waliitwa 'Chicco Girls' ambao baadae walimkimbia(Chicco) na kuanzisha kundi lao la Chimora.Bahati mbaya huyu Tshidi Wildeman(anaonekana sekunde ya 0.10/11)alifariki 2007 akiwa na miaka 39.Walitoa na kitu kinaitwa I need some money-PESA LAKO.Umenikumbusha mbali kiongozi

    David V

    ReplyDelete
  2. we miss you manelo (mandela) where are you?

    ReplyDelete
  3. Shikamoo David V, kwakweli umechambua vilivyo hadi sasa hivi naurudia-rudia wimbo.
    Nami nimeupenda wimbo kwa kile ninachokiona yaani binti kapigwa / kafukuzwa nyumbani sababu ya mimba.
    hayo maudhui yaliyojificha ni yatakuja na kupita tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...