THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
              press@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dr. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza jana, Desemba 2, 2013.
Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama cha Mapinduzi.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.

3 Desemba, 2013


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Hongera saana kwa uteuzi muhimu umetupa imani ya kutokuwa na kipingamizi katika mbio za mrithi wa uchaguzi mkuu wa uraisi 2015.
    Mhs. LOWASSA
    Mhs. ASHA ROSE
    Mhs. MEMBE
    Hawa wana kiwango na sifa zote za uongozi bora kama warithi. Kamati kuu ya NEC waamuzi wetu wa uhakika
    Mikidadi-Denmark

    ReplyDelete
  2. impending reshuffle?! kuna watu useless ndani ya cabinet, well we can't read too much into this, for now at least. but looks like it is a very strategic appointment.

    ReplyDelete
  3. The mdudu,anasema team yake ya 2015 hii hapa kama kweli mnataka Tanzania iwe kama JAPAN au UK,bila ya hii team mm siludi hata kwa fimbo, R,Mwakyembe,W,mkuu Maguli,W,wa Elimu Lowassa,W,wa uchumi na pesa P,Ripumba,W wa udongo na ujenzi hapa piga uwa panamfaa huyu kijana wa SHILIKA LA NYUMBA wa sasa MSEMCHU kitu kama hiko sipo sure,J makamba W wa ulinzi na usarama wa taifa coz mzuri wa IT,mama Kilango waziri wa nishati yaani umeme tu coz hatopenda kuona akina mama na madada zetu wakitumia KUNI so panamfaa,W wa Madini Zitto K,coz yuko open sn huyu kijana,dr Dau waziri wa Uchukuzi akisaidiwana na John Mashaka,hakiamungu mabandari mapya mengi tu yangejegwa na manjia ya reli mapya na ya kisasa tungeyaona kuptia hao watu,ndugu zanguni mm naishia hapa na milango ipo wazi kwa yeyote anaetaka KUNIKOSOA au KUNIUNGA MKONO,mshinde salama wadau

    ReplyDelete
  4. Key player in CCM.Well done JK. Asha Rose Migiro ni mchapa kazi ameonyesha jinsi anavyovuruga vijiji hata huwezi amini alikuwa UN.achana na hiyo mizigo inayokaa ofisini na masuit kila sku kwenye viyoyozi.we need people like Asha.mpe na wizara kabisa.

    ReplyDelete
  5. Dr. Bilal Rais-CCM
    Dr. A-R Migiro Makamu wake.

    ReplyDelete
  6. We mdau wa tatu inabidi uzifanyie kazi hizo "r" na "l" katika lugha yetu ya Kiswahili, siyo unakurupuka tu, hivi hamkufundishwa shuleni kwenu?

    ReplyDelete
  7. Salome sijaona balozi Japan vipi uraisi na yeye mama kichwa Yule

    ReplyDelete
    Replies
    1. Salome sijaona hata Mimi
      Nan kubali

      Delete
  8. Mimi kwa mtazamo wangu....timu ya ushindi tena wa kishindo ni hii hapa...Rais...A.Makinda, W.Mkuu..S.Wasira..W.W.Utamaduni.J.Komba,W.W.Elimu.Mulugo,Nondo zingine kali mtamalizia wenyewe ktk timu hii ya ushind....yaani hapa piga ua hatuitaji kampeni wala nini hii ni timu pasua kishwa...

    ReplyDelete
  9. naomba kuuliza ubunge wa heshima ni upi? je huu si uteuzi wa wale wabunge 10 wa raisi?

    ReplyDelete
  10. Kuna vimama vingi vichapa kazi lakini havijulikani. Kuna yule mama mhasibu wa kwanza TZ. nakumbuka jina la kwanza anaitwa Gerdine. Huyu mama kwa siasa hayupo, lakini aliendesha viwanda kama mhasibu enzi za Mwalimu.

    Huyu mama akipewa uwaziri au unaibu akafanya kazi na mtu kama magufuli. Baaaasi. TZ hiyooooooo inapepea

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wamama vichwa na wamepiga Shule list. Salome (balozi wa japan )Sijaona,Rose lugembe,Hilda gondwe ( Kateuliwa juzi na Rais sikumbuki kazi gani ),Mariam mwafisi mama wa afya Yule .Wapo wa mama wewe sema wanakazi binafsi ukute

      Delete
  11. Kuna vimama vingi vichapa kazi lakini havijulikani. Kuna yule mama mhasibu wa kwanza TZ. nakumbuka jina la kwanza anaitwa Gerdine. Huyu mama kwa siasa hayupo, lakini aliendesha viwanda kama mhasibu enzi za Mwalimu.

    Huyu mama akipewa uwaziri au unaibu akafanya kazi na mtu kama magufuli. Baaaasi. TZ hiyooooooo inapepea

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...