Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Bi. Irene Isaka (aliesimama) akiwasilisha mada kuhusiana na hali halisi ya sekta ya hifadhi ya jamii nchini,changamoto na mafanikio wakati wa semina ya siku moja iliyotolewa kwa Wahariri wa Nyombo mbali mbali vya habari nchini kupitia Jukwaa la Wahariri,iliyofanyika Mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Oceanic,Bagamoyo.
Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe,Jesse Kwayu akiuliza swali mara baada ya uwasilishwaji mada.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Irene Isaka akisisitiza jambo juu ya umuhimu wa vyombo vya habari katika kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa wananchi.kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini,Absalom Kibanda  na kushoto kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhamashishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde – Msika.
Baadhi ya wahariri wakuu wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakisiliza mada iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Bi. Irene Isaka (hayupo pichani).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...