Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hakika CHADEMA mme VURUNGWA na mme VURUGIKIWA haswaaaaa.

    ReplyDelete
  2. Kufuatia saka nyoka na Gombania Goli inayo endelea ndani ya Chama hiki, Wananchi wengine (HATA TUSIO KUWA NA CHAMA AU VYAMA) tuna changanyikiwa na Misimamo inayo pishana ya Chadema!

    ReplyDelete
  3. Kufuatia saka nyoka na Gombania Goli inayo endelea ndani ya Chama hiki, Wananchi wengine (HATA TUSIO KUWA NA CHAMA AU VYAMA) tuna changanyikiwa na Misimamo inayo pishana ya Chadema!

    ReplyDelete
  4. Siasa ni wazi imesha washinda!

    Ni bora muuwe Chama cha Siasa muanzishe SACCOS (CHADEMA CREDIT SOCIETY T. LTD.) na kuanza Kukopeshana ili muanze maisha mapya ya Ujasiriamali!

    ReplyDelete
  5. zama hizi za utandawazi si zama za kubaka dekrasia.jua limewawakia WABAKAJI.Namfahamu zito tangu shule ya sekondari ni mpiganaji ila hiyo timu yake siyo na haiwezi msimamo wake na kasi yake. Dhambi ya ubaguzi imeshaanza kushamiri ni hakika hao wabaguzi wanaweza kuleta kizaa zaa nchi yetu isiyojua ubaguzi.waondoke kukiokoa chama

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...