Umati wa watu kutoka maeneo mbali mbali ya jiji la Dar,wakiwa wamefurika kwa wingi katika eneo la ufukwe wa Coco Beach kwa ajili ya kupunga upepo na kuendelea kuisherehekea sikukuu ya Krismas.Coco Beach ndio eneo pekee linaloweza kuwakutanisha watu mbali mbali hasa wale wa hali ya kawaida kama kina sie na kutufanya tuzisherehekee sikukuu mbali mbali kwa furaha zote.
 Kijani kikiwa kimetawala kwenye Ufukwe wa Coco.
Hivi ndio mambo yalivyokuwa katika Ufukwe wa Coco leo. 
 Hii ndio raha ya Beach,hata kama hujui kuogelea kama mie basi utachezea maji namna hii. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...