Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo Kampuni hiyo, Bw. Peter Ngota akisisitiza umuhimu wa huduma mpya waandishi wa habari mfumo mpya wa kibiashara na utendaji kwa ajili ya kuwapatia huduma bora wateja wake kama njia ya kuchangia shughuli za maendeleo nchini kupitia huduma ya mawasiliano ya simu jijini Dar es Salam jana. Kulia ni Meneja wa Kampuni hiyo Dar es Salaam Kaskazini, Bwana Karim Bablia.
Meneja wa Kampuni Kampuni ya Mawasiliano nchini (TTCL) Mkoa Dar es Salaam Kaskazini, Bwana Karim Bablia akisisitiza umuhimu wa huduma mpya waandishi wa habari mfumo mpya wa kibiashara na utendaji kwa ajili ya kuwapatia huduma bora wateja wake kama njia ya kuchangia shughuli za maendeleo nchini kupitia huduma ya mawasiliano ya simu jijini Dar es Salam jana.Kushoto Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo Kampuni hiyo, Bw. Peter Ngota.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...