Mkurugenzi wa Udhibiti wa Huduma za Serikali Mtandao nchini Bw. Michael Moshiro akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu upatikanaji wa taarifa za serikali kwenye Tovuti Kuu Serikali. Amewaomba watanzania kuitembelea tovuti hiyo ili wapate taarifa na huduma zinazotolewa na serikali.Kulia kwake Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Wakala hiyo Bi. Suzan Mshekangoto.
Waandishi wa Habari wakiwa kwenye Mkutano na watendaji wa Wakala ya Serikali mtandao leo jijini Dar es salaam. Mkutano umelenga kuwahamasisha watanzania kuitumia Tovuti Kuu ya Serikali inayopatikana kwa anuani ya:
Picha na Aron Msigwa- MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...