Mshindi wa Promosheni ya Timka na boda boda wa Mkoa wa Arusha Bi.Anna Ombela akikabidhiwa ufunguo na kadi ya pikipiki yake aliyojishindia katika Promosheni hiyo na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Kaskazini Bi. Assumpta Malongo(kushoto)katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya stendi ya Nduruma hapo jana,Jumla ya washindi 13 wa kanda hiyo walikabidhiwa bodaboda zao.
Meneja wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kaskazini Bi. Assumpta Malongo(kushoto)akimkabidhi funguo wa pikipiki yake mshindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Arusha Anna Ombela, katika hafla fupi iliyofanyika katika kituo cha mabasi cha Nduruma hapo jana,Jumla ya washindi 13 wa kanda hiyo walikabidhiwa bodaboda zao.
Mshindi wa Promosheni ya Timka na boda boda wa mkoani wa Arusha,Bw. Denis Richard Ngowa akikabidhiwa ufunguo na kadi ya pikipiki na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Kaskazini Bi.Assumpta Malongo katika hafla fupi iliyofanyika kwenye kituo cha mabasi cha Nduruma hapo jana,Jumla ya washindi 13 wa kanda hiyo walikabidhiwa bodaboda zao.
Mshindi wa Promosheni ya Timka na boda boda wa Mkoa wa arusha Bi.Anna Ombela akiwa juu ya pikipiki yake baada ya kukabidhiwa rasmi na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Kaskazini Bi. Assumpta Malongo(hayupo pichani) katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya kituo cha mabasi cha Nduruma hapo jana,Jumla ya washindi 13 wa kanda hiyo walikabidhiwa bodaboda zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...