Rais Barack Obama akiwa na Marais wastaafu wa Marekani waliomtangulia. Toka Kulia ni George W. Bush, Bill Clinton na Jimmy Carter. Nchi chache duniani zinaweza kupata taswira ya namna hii kama ilivyo kwa Marekani na Tanzania. Picha kwa hisani ya White House.
Home
Unlabelled
RAHA YA DEMOKRASIA YA KWELI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hilo pozi na la cheko la usoni, moyoni je?
ReplyDeleteZimbabwe hawawezi kuwa na Picha kama hii karne hii...
ReplyDeleteRwanda ndio kabisa
ReplyDeleteJidanganyeni tu Duniani hamna Demokrasia ya kweli popote pale.Demokrasia ni hadaa,uongo,Wizi na Ubinafsi tu...Hawa jamaa mnaowasifia kuwa na demokrasia wanazo scandals kibao tena za kutisha.
ReplyDeleteMdau wa 4 juu yote mapungufu yapo lakini kama alivyoandika Mwandhishi angalau hapo Marekani tunamuona Obama na waliomtangulia tena wengine wakitokea Upinzani na pia hapa Tanzania tumeshuhudia Raisi Kikwete akinywa Juisi na Chai Ikulu huku wakifanya mazungumzo na Wapinzani!,,,haitoshi Maraisi Wastaafu wote nchini Tanznia na Familia zao wanaishi kwa Ushirikiano mzuri na Raisi Kikwete!
ReplyDeleteTanzania pia imeweza!!!