Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda Mb akiwa na mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Tanzania anayemaliza muda wake Bwana Abeeric Kacou (kushoto) mara baada ya Mwakilishi Mkazi huyo kufika Ofisini kwa Spika leo kwa nia ya kumuaga.
“Kwaheri na asante kwa kazi nzuri na karibu tena Tanzania ”…. Ndivyo Spika anavyomwambia Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bwana Kacou baada ya kumaliza miaka minne ya utumishi hapa nchini Tanzania.
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda, Mb, akimkaribisha Balozi mpya wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo (kushoto) ofisi kwake leo ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia kuendeleza ushirikiano wanchi mbili hizi. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...