Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya sukari Tanzania, Bw. Henry Semwaza (kushoto) wakati wa mkutano wa siku moja wa wadau wa sukari nchini uliofanyika jana Mkoani Morogoro. Wengine ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kulia) na Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha sukari cha TPC Moshi, Bw. Robert Baissac.
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu (kushoto) akibadilishana mawazo na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza (katikati) muda mfupi mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sukari uliofanyika jana mkoani Morogoro. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha sukari cha TPC Moshi, Bw. Robert Baissac.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...