Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tganzania (TBL), Kanda ya Ilala, Jesca Njau (kushoto) akimkabidhi Meneja wa Kampuni ya NJ Hydro Drilling, Arnold Mwanga, mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 57, ikiwa ni msaada wa kuchimba kisima cha maji katika Zahanati ya Mvuti, wilayani Ilala, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Anayeshuhudia katikati ni Mganga Mfawidhi wa zahanati hiyo, Mary Kalonge.
Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Mvuti, Mary Kalonge akitoa shukurani kwa TBL kupatiwa msaada huo muhimu.
Mmoja wa wananchi wa Kijiji cha Mvuti, akitoa shukurani kwa TBL kwa zahanati hiyo kupatiwa msaada wa kisima cha maji. Kulia ni Bertha Mturi kutoka TBL
Majengo ya Zahanati ya Mvuti. (PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...