Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mjomba wewe ume posti kwa tarehe ya kesho mbona tarehe 12 March , 2014 haija ingia?
ReplyDeleteAu umeposti ukiwa Japan na Mashariki ya mbali ambako wako mbele kwa masaa 6 zaidi yetu?
Hee heee...good observations mdau hapo #1,upo sahihi.Hii inaonyesha ni jinsi gani blog ya jamii ilivyo na ofisi duniani kote!!Glob "matata" hii
ReplyDeleteDavid V
...ila hapana,nimekumbuka kuna uwezekano vilevile wa wrong setting ya tarehe kwenye mashine aliyotumia kupost tangazo.Bayen 3-Asen 2
ReplyDeleteDavid V
Ohooo Kiongozi David V.
ReplyDeleteDu !, unataka kuumiza watu sasa, umetoa ufafanuzi wa Posting ya Michuzi Kiutaalamu kabisa halafu hapo hapo UNATOA MATOKEO YA MICHEZO Bayern Munich 3 na Arsenali 2!
Kiongozi David V. Mchokozi wewe?
Posting ya Michuzi ya kabla ya tarehe inaonyesha ni jinsi gani Ankali alivyokuwa ''GLOBE TROTTER''! , na anavyotutumikia Wananchi na Tanzania!
ReplyDeleteJana anatundika picha akiwa Mbeya-Tanzania, Kijijini anakula ndizi mbivu na miwa halafu jioni yake ana Post Taarifa akiwa ashariki ya mbali Japan !!!
Ohooo David V.
ReplyDeleteArsenali hawakawii kujiua na kuua kwa Matokeo ya mpira tu!
Kenya ilipokfungwa Arsenal mwaka 2011 Shabiki akajinyonga!
Kenya tena mwaka huu ilipofungwa Arsenal, Shabiki wa Arsenal akamuuwa Shabiki wa Liverpool!
Angalau unetumia U-Engineer wako ukatoa Matokeo kwa ishara na kisayansi pekee badala ya kutumbua jipu pwaaa kama hapo.
Sasa hiyo kutoa Matokeo hayo ya Bayen 3-Asen 2 ?, ghafla humu humu jamvini wamo wana Arsenal yanaweza kuzuka makubwa!!!