Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba wakiwa wamesimama kupinga Jaji Joseph Warioba asiwasilishe rasimu ya katiba
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akijiandaa kuwasilisha rasimu ya Katiba Mpya. Hata hivyo zoezi hilo liliahirishwa hadi kesho wakati baadhi ya wajumbe waliposimama na kutaka baadhi ya kanuni walizojiwekea zifuatwe, baada ya kuonekana hazikufuatwa.
Muafaka ulifikiwa baadaye na rasimu hiyo itawasilishwa kesho kwa Jaji Warioba kufanya hivyo kwa masaa manne badala ya moja ama mawili yaliyopendekezwa awali. Habari kamili zitawajia muda mfupi ujao...
Muafaka ulifikiwa baadaye na rasimu hiyo itawasilishwa kesho kwa Jaji Warioba kufanya hivyo kwa masaa manne badala ya moja ama mawili yaliyopendekezwa awali. Habari kamili zitawajia muda mfupi ujao...
Picha na Deusdedit Moshi
wa Globu ya Jamii, Dodoma
Afya ya binaadamu hasa afya ya akili inaweza kuyumba wakati wowote ule.
ReplyDeleteAfya haina mdhamana kwa kuwa unweza kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Bunge la Katiba na Mhe. Rais Kikwete ukiwa na afya njama lakini ukafika Bungeni Dodoma ukiwa Mtambo ama Chizi fresh.
Nina wasiwasi kitendo walicho fanya Wajumbe wa Bunge la Katiba dhidi ya Mhe. Joseph Warioba jana huenda wameyumba ktk afya yao ya akili!!!